Malika

Malika - Sitaki Sitaki songtekst

Je score:
Sitaki sitaki sitaki sitaki
Japokuwa sina changu kweli kuonewa staki
Sitaki sitaki sitaki sitaki
Japokuwa nimnyonge mimi kunyanyaswa staki

Siutaki usuhuba usokuwa na maana X4
Naukata ukuruba kuwa ni mbaya sana X4
Kwako wewe nimishiba kunifanyia khiyana X4

Chorus:

Mimi sitaki sitaki sitaki sitaki
Japokuwa sina changu kweli kuonewa staki
Sitaki sitaki sitaki sitaki
Japokuwa nimnyonge mimi kunyanyaswa staki

Umeivudha hisani ukae ukitambuwa X4
Umejitoa thamani ulotenda siyo sawa X4
Umeingia izarani watu wote wamejua X4

(Chorus)

Ulikusudia nini kutakaa kunidhiisha X4
Kunitiya mtihani vituko kunionyesha X4
Yakunitoa nyumbani sitosaha umaisha X4

(Chorus)

Kweli wewe ni mjinga simtuni hayawani X4
Mambo kama yakushinda sababu kuyathamani X4
Ukanifanyia hinda na kashifa mitaani X4

(Chorus)

Mulofanya ni aibu kukuambiya sitoshindwa X4
Kuyapata madhulubu na wewe makuvunda X4
Hukujalia yangu tabu na mazuri nilotenda X4

(Chorus)
Vind dit lied op:
bol.com
amazon.com

Copyrights:

Auteur: ?

Componist: ?

Publisher: ?

Details:

Taal: Swahili

Deel je mening

Dit formulier wordt beschermd door reCAPTCHA en de Google Privacy Policy en Servicevoorwaarden zijn daarbij van toepassing.

0 Reacties gevonden