Leteipa the King

Leteipa the King - Ndoto ya mchana songtekst

Je score:
#INTRO
Iyeeeh iyeeh iyeeeh, 
Ni vampK 
lalalalalala lalalalalaaaa

#VERSE
Niliskia tufununu,
 Kwamba ulipata mwingine,
Anayekupenda zaidi ya mimi, 
mtafunga ndoa pengine,
Yetu ilikuwa shadow, 
 mapenzi yenu yamekolea,
Lazima huwa Anakupa,
 vitu sikuwa nakupea,
Ndoto zako zote, 
ulizoniambia, 
Naona kama kweli sasa zinatimia,
Na Sina chochote,
 cha kukuambia,
Ila nakonda Kweli nikikufikiria,

#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh, 
Nikikumbuka najiona hayawani maami 

#CHORUS
Nawatakia mema,
 (Nawatakia mema)
nawatakia mema,
 (Nawatakia mema) 
Nawatakia mema,
 (Nawatakia mema) 
Basi kwaheri kwaheri 
kwaheri Mama
(Ndoto yangu ya Mchana) 

#VERSE
Ingawa  inaniuma,
 niko  na furaha  moyoni, 
Kuona  kwamba  umepata, 
vyote ulivyokuwa unatamani, 
Naomba  nipate  mwaliko, 
wa harusi  nije Nile wali, 
Nipige picha na wadau,  
nikupe zawadi kama zamani 
Alafu ntapeform, 
 kama beshte yako,  
kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform, 
 tunza mume wako,
 Japo kuna vitu zenye ninatamani, 

#HOOK
Sura yako umbo lako jamani eeh,
Busu na mahaba chumbani maami ,
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh, 
Nikikumbuka najiona hayawani maami 

#CHORUS
Ingawa ningependa,
ungekuwa wangu pekee, 
(Nawatakia mema) 
Ingawa moyoni 
umeniachia kidonda, 
(Nawatakia mema) 
Namwomba Mungu, 
anipatie 
mwingine Kama wewe,
 (Nawatakia mema) 
Hivo kwaheri kwaheri 
kwaheri kwaheri mama
 (Ndoto yangu ya Mchana) 
Lakini ninaomba, 
unifanyie favour Moja
 (Nawatakia mema) 
Ukijifungua 
kama ni wa kiume,
mpe jina laangu
 (Nawatakia mema) 
Na kama ni wa kike
 mpe jina la  mama yangu
 (Nawatakia mema) 
Basi kwaheriiiiiiii 
(Ndoto yangu ya Mchana)

#AUTRO
lalalala lalalala 
iyeeeeeeeeh
Vind dit lied op:
bol.com
amazon.com

Copyrights:

Auteur: Teipa

Componist: Leteipa the King

Publisher: Leteipa the King

Details:

Uitgegeven in: 2018

Taal: Swahili

Komt voor op: Teipas tales (2022) , Teipas Tales (2022)

Deel je mening

Dit formulier wordt beschermd door reCAPTCHA en de Google Privacy Policy en Servicevoorwaarden zijn daarbij van toepassing.

0 Reacties gevonden