Leteipa the King

Leteipa the King - Baki na mimi songtekst

Je score:
INTRO;
Ni vampK    254. Mhhhhh

VERSE 1:
Kukutazama, Ukitabasamu
Nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
We ndo kitabu, Mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako, Kama masai na Rubeka
Ninatamani ningewa yako mavazi
Nikusitiri nikuguse Kila wakati
Ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe Mokimo ama chapati

HOOK:
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Kamba za viatu babe, mi nikufungie

CHORUS:
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa

VERSE 2:
Nakama ungewa, mwanasiasa,ninge piga kampeni zako
Nikusifie, kwa giza na mwangaza, mpaka kwa maadui zako
Nitakubusu bila woga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ungewa kijiko lazma ningewa sahani
Kututenganisha Hilo haliwezekani

HOOK:
Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie


CHORUS:
(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba , Utapona nna tiba mamaa
Vind dit lied op:
bol.com
amazon.com

Copyrights:

Auteur: Teipa

Componist: Leteipa the King

Publisher: Leteipa the King

Details:

Uitgegeven in: 2020

Taal: Swahili

Komt voor op: Teipas tales (2022) , Teipas Tales (2022)

Deel je mening

Dit formulier wordt beschermd door reCAPTCHA en de Google Privacy Policy en Servicevoorwaarden zijn daarbij van toepassing.

0 Reacties gevonden