Miriam Makeba

Miriam Makeba - Malaika (My Angel) lyrics

Your rating:

Malaika, nakupenda Malaika

Malaika, nakupenda Malaika 

Ningekuoa mama we, ningekuoa dada

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika 

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika 



Pesa zasumbua roho yangu 

Pesa zasumbua roho yangu 

Nami nifanyeje, kijana mwenzio 

Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika 

Nashindwa na mali sina we Ningekuoa Malaika 



Kidege, hukuwaza kidege 

Kidege, hukuwaza kidege 

Ningekuoa mama we, ningekuoa dada 

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika 

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika 



Malaika, nakupenda Malaika

Malaika, nakupenda Malaika 

Ningekuoa mali we, ngekuoa dada

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika 

Nashindwa na mali sina we, Ningekuoa Malaika
Get this song at:
bol.com
amazon.com

Copyrights:

Author: ?

Composer: ?

Publisher: ?

Details:

Language: Swahili

Share your thoughts

This form is protected by reCAPTCHA and the Google Privacy Policy and Terms of Service apply.

0 Comments found