Lady Jay Dee

Lady Jay Dee - Siwema lyrics

Your rating:
Siiweema usinipe mateso ya moyo

Na sasa nimechoka kweli nasemaa



Siwema usinipe mateso ya moyo

Na sasa nimechooka kweli naseema



Nilidhani nimepata mpenzi wa kweli

Na kumbe nimepatikana na mambo ya ajabu uuh



Nia na madhumuni yako nimeshavitambua siwema kaka, siwema kaka ah ah aah



Unaajitapa mbele ya rafiki zako, kwamba mimi

Sina la kusema mbele yako, umeniweka kwenye

Kiganja ah ah



Unalotaka ndilo ninalofanya, sababu wewe ni mzuri sana

Siwezi kupata mwingine kama wewe



Siwema kaka, unajidanganyaaa



Wema wanguu ndio ulionipooonza, fadhila zote kumbe kwako ni buree



Malipo yake kunifanya mjingaa .wouwoo

Ayo yote ni makosa yangu, lakini sasa nimejifunza

Kutokana na makosa aah



Najiepusha nawe mamaah



Nimezunguuka Tz baraa ah.unguja na pemba nimefika aah, nimewaona vijana wenye sifa aah, wenye kujipamba wakapambika aah x 2



Kwahiyo niielewe brother,

Sibabaishwi na suraa haaa, napenda tabia njema



(Sibabaishwi na sura yako)

Sibabaishwi na sura aaah, napenda tabia njeema

(Usifikiri mimi limbukeni sana)

Sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema

(Nilikupenda kimapenzi)

Sibabaishwi na sura aaah, napenda tabia njema

(Ukaniona mimi sugar mumy lako)

Sibabaishwi na suraa aah, napenda tabia njema

(Tabia njema ndiio silaha yako)

Sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema

(Kila mtu atakupenda kaka)

Sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema
Get this song at:
bol.com
amazon.com

Copyrights:

Author: ?

Composer: ?

Publisher: ?

Details:

Language: Swahili

Share your thoughts

This form is protected by reCAPTCHA and the Google Privacy Policy and Terms of Service apply.

0 Comments found